Wanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho. Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka katika ...
Jana pia katika Chuo Kikuu cha Dodoma katikati mwa Tanzania walipata ugeni wa tembo wanne wakiwa karibu kabisa na mabweni wanayolala wanafunzi. Lakini ni kweli kuwa mara zote tembo ndio wavamizi?
ASILIMIA 25 pekee ya wanafunzi waliofanya mtihani wa somo la hisabati, mtihani wa kumaliza kidato cha nne mwaka 2024 nchini, ...
Mwananchi Digital imeshuhudia leo Jumatano Februari 5, 2025 msongamano na foleni kubwa ya magari ya mizigo, mafari ya shule ...
Mbunge huyo amehoji vituo vingapi vya umahiri vya sayansi na teknolojia na akili mnemba katika taasisi za elimu ya juu vimeanzishwa.