Ikiwa Uturuki itakubali kujiunga, itakuwa nchi ya kwanza mwanachama wa NATO kuwa mwanachama wa muungano wa kiuchumi wa nchi zisizo za Magharibi, unaoongozwa na Urusi na China. Kerim Has ...
Kulingana na data rasmi ya Uturuki, mwaka 2022, Baykar, kampuni inayotengeneza ndege zisizo na rubani, ilisaini mikataba ya usafirishaji wa ndege hizo kwa nchi 27, na mapato ya jumla ya dola za ...
Kaimu rais wa Syria Ahmed al-Sharaa amekuwa nchini Uturuki siku ya Jumanne, Februari 4, kwa ziara yake ya pili nje ya nchi ...
Rais wa mpito wa Syria Ahmed al-Sharaa ameahidi kuitisha mkutano wa majadiliano ya kitaifa, katika hotuba yake ya kwanza kwa ...
Rais wa Marakani Donald Trump amekuwa kiongozi wa hivi karibuni kumtaka Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan kupunguza operesheni ya kijeshi inayofanywa na nchi yake katika eneo la Kikurdi la Afrin ...
Mwana Mfalme na Binti Mfalme Akishino wa Japani wanaitembelea Uturuki, wakati ikitimia miaka 100 mwaka huu ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili. Wanandoa hao walihudhuria hafla ya ukari ...
Zaidi ya miezi miwili baada ya kuanguka kwa utawala wa Bashar Al Assad, Ufaransa ni mwenyeji wa mkutano wa tatu wa kimataifa ...
DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Burkina Faso kupitia washauri wa rais na madaktari bingwa, wamefika nchini Tanzania ...
NEVUMBA ABUBAKAR NAHODHA wa timu ya Taifa ya wanawake ya Twiga Stars, Opah Clement amejiunga na FC Juarez ya Mexico ...