Mchakato wa Katiba mpya Tanzania ni kama umeanza rasmi ... Mbali na watendaji wengine Rais alikutana na Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama, Waziri ...
Mosi, Rais hakumteua waziri mkuu ndani ya siku 14 kama Katiba inavyoeleza Ibara ya 57(2) mara baada ya kuapishwa kulingana na agizo la muundo wa Baraza la Mawaziri na Serikali. Pili,kwa mujibu wa ...
Wakili Tenzi Nyundulwa aliyekuwa akiomba kibali cha mahakama ili afungue kesi kupinga hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan ...
WIKI ya Sheria nchini ilifanyika katika mikoa mbalimbali, kwa ajili ya wananchi kuitambua na kupatiwa elimu ya sheria, jinai ...
SHEKHE Ponda Issa Ponda na wenzake 11 wameomba mahakama wafanye marekebisho kwenye hati ya madai kumwondoa Yustadhi Twalib ...
Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2030, hawakufurahia ...
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ni muhimu kuimarisha utoaji haki ili nchi ipate manufaa katika utekelezaji wa ...