Ni baada ya miongo mitano na marais watano tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar uundwe 1964. Rais wa kwanza wa Tanzania kutoka Zanzibar alikuwa Mzee Ali Hassan Mwinyi (1985-1995) japo ...
Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ametoa maagizo kadhaa kwa Mamlaka ya Uwekezaji ya Zanzibar yenye lengo la kuvutia wawekazaji visiwani humo huku akiitupia lawama Mamlaka hiyo Amesema baadhi ya ...
Unguja. Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ikihitimisha shughuli ya uandikishaji wapigakura wapya awamu ya pili, Makamu wa Kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman ni miongoni ...
Miaka minne yenye tafsiri mbili imekatika. Minne tangu kifo cha Rais wa tano, Dk John Magufuli na minne ya urais wa Samia ...
MAKAMU wa Kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman, amejiandikisha katika Daftari la Wapigakura wapya katika kituo cha ...
Mtu aliyebuni jina la nchi ya Tanzania, Mohammed Iqbal Dar mwenye asili ya India, amefariki dunia huko Birmigham, Uingereza akiwa na umri wa miaka 80. Amefariki usiku wa kuamkia leo nchini Uingereza a ...
Viongozi mbalimbali wa upinzani wakiwemo marais wawili kutoka  mataifa ya Afrika na wengine kutoka kwingineko duniani,  siku ...
DAR ES SALAAM; RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Tanzania imepata manufaa na heshima kwa kuandaa mashindano ya 25 ...
ZANZIBAR: Benki ya Stanbic Tanzania (SBT) na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) zimeungana kwa pamoja kuiwezesha Serikali ya ...