Nchini Japani, elimu ya lazima huanza pale mtoto anapotimiza umri wa miaka sita. Watoto raia wa kigeni wanaweza kujiunga na shule za msingi za umma. Katika mfululizo huu, tunaelezea sheria za maisha ...
Wizara ya Elimu nchini Kenya imetangaza kuwa shule za msingi na upili zitafunguliwa mwaka 2021. Waziri wa Elimu Profesa George Magoha amesama mitihani ya kitaifa sasa haitafanyika mwaka huu ...
Kabla ya kukamilika kwa Alhamisi hii, wanafunzi zaidi ya milioni moja nukta mbili nchini kenya watakuwa wameshapata matokeo yao ya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane unaofahamika kwa kiingereza ...
Kampuni ya Grumeti Reserves imetoa madawati 150 kwa shule tatu za msingi katika wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, ili ...
Wakati kukiwa na matukio ya watoto kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa kutokana na adhabu ya viboko, wito umetolewa kwa ...
Serikali imejenga shule mpya 171 na vyumba vya madarasa 3,300 kwa Mkoa wa Geita kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa ...
Dodoma. Serikali inatarajia kujenga shule 103 za sekondari za elimu ya amali nchini ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi ...
Kuchapisha mtihani hii kutoka kwa mtandao iligharimu pesa nyingi zaidi na serikali haikutoa pesa za mtihani’’, anasema mwalimu mmoja wa gredi 3, Bi Alice Apondo, kutoka shule ya msingi ya ...
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha ameweka jiwe la msingi shule mpya ya sekondari Bumva, iliyopo kijiji cha Bumva ...
KITUO cha afya Mirerani kina changamoto ya upungufu wa wodi ya wanawake na watoto na kusababisha msongamano mkubwa kwa wagonjwa wanapolazwa kwani kinahudumia baadhi ya watu wa wilaya za Simanjiro ...
Watoto raia wa kigeni wanaweza kujiunga na shule za msingi za umma. Katika mfululizo huu, tunaelezea sheria za maisha ya shule, maudhui ya masomo na matukio. Kipengele chetu cha leo ni kuhusiana ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results