Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana, amewataka maofisa elimu na watendaji wa sekta hiyo kuhakikisha wanaendana na mabadiliko ya utekelezaji wa mtaala mpya wa masomo ulioanza kutumika Jan ...
Magufuli alipata elimu ya msingi katika shule ya msingi huko huko Chato kuanzia mwaka 1967 hadi 1975 na baadaye akajiunga na shule ya sekondari ya Lake iliyoko Mwanza mwaka 1977 hadi 1978.
Wadau wameshauri Serikali iwekeze kwenye ununuzi wa mashine na uimarishaji wa mifumo ya ukusanyaji kodi, ili kuepusha mianya ...
Leo tutatoa taarifa juu ya uhudhuriaji wa shule za sekondari. Nchini Japani, watoto wakishamaliza elimu ya lazima, wengi wao wanafanya mitihani ya kuingia shule za sekondari. Kuna mifumo mitatu ya ...
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) ...
Kauli ya Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Nchini KNUT Wilson Sossion kwamba wanafunzi wa shule za Sekondari nchini wanafaa kuruhusiwa kumiliki simu za rununu na kuwa nazo wakiwa shuleni ...