Tanzania itawakilishwa na wanariadha wanne katika michuano hiyo, ambao ni Alponce Felix, Fabiani Joseph, Saidi Juma pamoja na Sara Ramadhani. Kocha wa kikosi hicho Francis John anasema " wamekaa ...
Chanzo cha picha, Getty Images Tanzania itawakilishwa na wanariadha watano watakaokamilisha kikosi cha taifa hilo mjini Asaba nchini Nigeria kushiriki mbio hizo. Wilhelm Gidabuday katibu mkuu wa ...
Mkutano maalumu wa marekebisho ya katiba ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) umefanyika Februari 28 jijini Mwanza. Mkutano ...