Ibada ya Misa hiyo imefanyika leo Machi 17, 2025 katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Yohana Maria Mzeyi, Mlimani wilayani Chato mkoani Geita kuadhimisha miaka minne ya kifo cha hayati Dk ...
Usiku wa kuamkia Alhamisi, baada ya kusikia taarifa za kifo cha mtoto huyo, kundi la watu wenye hasira walikenda kwenye nyumba inayodaiwa kutokea tukio hilo na kuiteketeza kwa moto. Wizara ya ...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo. Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita linachunguza kifo cha mchimbaji mdogo wa madini, Emmanuel Sitta (25), mkazi wa Nyakabale, anayedaiwa kuingia kinyemela ...
Na Asha Juma Chanzo cha picha, EPA Mazungumzo ya kuongeza muda ... hiyo uliwajibika katika "vurugu za kimwili" zilizosababisha kifo cha Mahsa Amini aliyekuwa kizuizini mnamo mwaka 2022.
KUELEKEA kumbukizi ya miaka minne ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Machi 17, 2025, maelfu ya Watanzania wamejitokeza kwenye matembezi ya amani kumuenzi kwa mambo ...
Dk Benedicta Daudi (shahidi namba nne wa Jamhuri), aliyefanya uchunguzi wa mwili wa marehemu, alieleza chanzo cha kifo kilikuwa kupoteza damu nyingi, jambo lililosababisha moyo kushindwa kufanya kazi.
TANZANIA leo, imetangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg, baada ya kutoripotiwa kwa kesi mpya kwa zaidi ya siku 42 tangu kifo cha mgonjwa wa mwisho, aliyethibitishwa Januari 28 ...
Viongozi wa Chama na Serikali waliambatana na familia ya Hayati Dk John Magufuli kutembelea na kutoa msaada hospitalini hapo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Miaka minne ya kifo cha Rais huyo wa awamu ...