Lengo lililotangazwa na Zelensky ni kurejesha maeneo yaliyopotea ya Ukraine, ambayo ni takriban theluthi moja ya ardhi yote ...
Kundi la Hamas limeanza mikutano na maafisa wa Misri kujadili utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano.
Sasa ni rasmi kuwa Mazungumzo ya kurejesha amani Sudan Kusini yanayojulikana kama Tumaini, yamevunjika mjini Nairobi.
Rais wa Marekani ametangaza Jumatano, Februari 12, kwamba alikuwa na "mazungumzo ya muda mrefu na yenye tija" na mwenzake wa ...
Kundi la Hamas linasema kwamba kesho Jumamosi litawaachilia huru mateka ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha ...
Waziri wa Ulinzi wa Uingereza, John Healy amesema hakuwezi kuwa na mazungumzo kuhusu Ukraine bila kuishirikisha Ukraine ...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameashiria kwamba hajapendezwa kwamba Rais wa Marekani Donald Trump alitangulia kuzungumza kwa njia ya simu na Rais wa Urusi kabla ya kuzungumza naye. Zelenskyy ali ...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy atakutana leo na Makamu wa Rais wa Marekani James Vance mjini Munich nchini Ujerumani kwa mazungumzo yanayotarajiwa kufungua pazia la mashauriano ya kumaliza vita k ...
Iran imesema iko tayari kuujadili mpango wake wa nyuklia ikiwa nchi za Magharibi zitaonyesha kujitolea katika mazungumzo hayo ...
Jumuiya ya Afrika Mashariki imeitolea mwito Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kufanya mazungumzo na pande zote zinazohusika na mzozo wa mashariki mwa nchi hiyo wakiwemo M23 wanaoungwa mkono na Rwanda.
NAIBU WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Ryabkov amesemamazungumzo ya silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani bado ...
Rais Donald Trump wa Marekani amesema mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine yataanza baada ya kufanya mazungumzo ya simu ya ...