Maafisa wa hali ya hewa ... wa Hikone katika Mkoa wa Shiga na sentimita 19 katika Mji wa Sekigahara katika Mkoa wa Gifu. Theluji inatabiriwa kuendelea kudondoka kando ya pwani ya Bahari ya Japani ...
Siku tatu baada ya kuteuliwa na Mkuu wa Nchi, Félix Tshisekedi, Meja Jenerali Evariste Kakule Somo amehamia Beni, kaskazini mwa mkoa wa Kivu Kaskazini, Ijumaa hii, Januari 31. Kutokana na kuwepo ...
Takribani wakazi 750 wa zamani wa visiwa hivyo, jamaa na watu wengine walikusanyika katika maandamano hayo ya kila mwaka yaliyofanyika mjini Nemuro katika mkoa wa kaskazini mwa Japani wa Hokkaido ...
Marekani imeonya kuhusu uwezekano wa kuwekewa vikwazo maafisa wa Rwanda na Kongo kabla ya mkutano wa kilele unaonuiwa kushughulikia mzozo unaoongezeka mashariki mwa Kongo, kulingana na barua ya ...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekwama vitani, wanamgambo wa kundi la M23 limekuwa vitani dhidi ya jeshi la kitaifa na kudhibiti sehemu muhimu zote kwa mkoa wa mashariki. Katika kipindi cha ...
Mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika umeagiza kutumwa mara moja kwa mawaziri wa ulinzi na wakuu wa ulinzi kwa nchi zinazochangia wanajeshi nchini DRC ...
Maganja amesema TAWA imekuwa na utaratibu wa kurejesha faida zinazotokana na shughuli za uhifadhi kwa jamii zinazozunguka maeneo ya hifadhi zilizo chini ya usimamizi wa taasisi hiyo, na kwa Mkoa wa ...
Hata hivyo, barabara ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga haijajumuishwa kwenye bajeti hiyo. Meneja wa TARURA Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi Samson Pamphil, amesema barabara hiyo haikuwa ...
Zaidi ya Sh15 bilioni zimetengwa kutekeleza mradi wa ujenzi wa mizani wa kupima uzito wa magari utakaowabana madereva wanaopitisha kinyemela mizigo mikubwa katika eneo la Kizengi lililopo Wilaya ya ..
Golugwa amesema mazishi ya Dk Magoma yatafanyika Jumanne, Februari 11, 2025, katika mji wa Magugu, Kijiji cha Matufa, Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara na kwamba Mwenyekiti wa Chadema-Taifa, Tundu ...
MOROGORO — Ujenzi wa bwawa la Kidunda lenye matumizi mbalimbali katika mkoa wa Morogoro umefikia asilimia 27 kukamilika, maafisa walisema Alhamisi. Bwawa hilo linajengwa ili kuimarisha upatikanaji wa ...
Rais huyo alikuwa akizungumza katika mafunzo ya huduma za dharura kwa wakunga kutoka katika zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, za mkoa na ... Mratibu huyo amesema mkoa wa Dar es Salaam kwa ...