Edward Ngoyai Lowassa, tayari ameshatimiza mwaka mmoja tangu alipovuta pumzi ya mwisho, Februari 10, 2024 akiwa Taasisi ya ...
Kikao hicho kimeanza hii leo Jumamosi jijini Dar es Salam nchini Tanzania kujadili suala la usalama na ile ya kibinadamu katika Mji wa Goma, Mji Mkuu wa Kivu Kaskazini. Nchi ya DRC inawakilishwa ...
RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema amesikitishwa na taarifa ya kifo cha Baba wa Taifa la Namibia na Rais wa Kwanza wa taifa hilo, Sam Nujoma. Ametuma salamu za rambirambi kwa Wanamibia kutokana na kifo ...
Mapema leo asubuhi, Dk Malisa amezungumza na Mwananchi kuhusu kauli yake ya kutaka kwenda mahakamani kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM wa kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya ...
DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na kifo cha Rais Muasisi wa Taifa la Namibia, Dk Sam Nujoma kilichotokea jana usiku akiwa amelazwa hospitalini. Kupitia kurasa zake za mitandao ya ...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameelezea utayari wa kusambaza madini adimu na madini mengine kwa Marekani kama mbadala wa kuendelea kupata msaada wa kijeshi. Zelenskyy alisema hayo katika ...
Kulingana na rais Ruto, kusitishwa kwa mapigano mara moja ndiyo njia pekee ambayo inaweza kusaidia kuunda mazingira muhimu ya mazungumzo ya kujenga na utekelezaji wa makubaliano ya amani ya kina.
Rais wa kwanza wa Namibia huru, Sam Nujoma, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika mji mkuu wa Windhoek, kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ametangaza. Abdalla Seif Dzungu na Rashid Abdalla ...
Hivyo basi, ni nani wahusika wakuu na wanataka nini? Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Rais wa Jamhuri ya demokrasi ya Congo, Félix Tshisekedi, anasema kuwa nchi yake imevamiwa.
Mr Msigwa also expressed gratitude to the government under the leadership of President Samia Suluhu Hassan for facilitating the construction, insisting that the new offices will provide a conducive ...