BAADA ya CHADEMA kumaliza uchaguzi na kusimika viongozi wapya, inageukia ajenda ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, ikisema ‘no ...
Oktoba, mwaka huu, CCM kitashiriki uchaguzi wa saba wa vyama vingi, huku kikitarajiwa kuibuka na ushindi kutokana na sababu ...
Kutoka Februari 5, 1977, CCM ilipozaliwa baada ya kuunganisha vyama vya Tanu na ASP hadi Februari 5, 2025, ni miaka 48 iliyotimia. Ni siku 17,532 zenye matukio makubwa ya kisiasa.
Bulembo ni muumini wa dhati kabisa wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mapinduzi ya Zanzibar, ni mzalendo na ni mwanasiasa mwenye siasa za kati. Anaonekana pia kuwa mwanafalsafa ambaye amegeuka ...
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo wanaanza kikao chao cha siku mbili ambacho pamoja na mambo mengine wanakwenda kupiga kura ya kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM ...
Hatua ya kuondoka kwa mataifa hayo imetajwa na wachambuzi wa masuala ya kisiasa kama pigo kwa ECOWAS ambayo imekuwa nguzo muhimu katika nchi za Ukanda huo. Nchi hizo zinajiondoa kwenye muungano ...
Muungano mkubwa zaidi wa vyama vya upinzani nchini Ujerumani umewasilisha bungeni hoja ya kubana zaidi sheria za uhamiaji ukisaidiwa na chama kinachochukuliwa kuwa cha mrengo wa mbali kulia.
Marekani imeonya kuhusu uwezekano wa kuwekewa ... silaha na kuwaunga mkono waasi. Rwanda imeendelea kukanusha madai haya. Mwezi Julai, Idara ya Fedha ya Marekani iliweka vikwazo kwa Muungano ...
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amependa ushirikiano unaofanywa baina ya Kampuni Airpay Tanzania na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) katika kuwafanya ...
Maoni ya Moriyama yamekuja wakati serikali na muungano wa vyama vinavyotawala vikifikiria kuwapeleka wabunge kwenye mkutano huo. Wakati huo huo, serikali inasisitiza msimamo wake wa kutohudhuria ...
Badala yake, ameacha hotuba za umma na matamko kwa msemaji wake, na Corneille Nangaa, ambaye anasimamia muungano wa vikundi vya waasi ikiwemo M23. Lakini Makenga bado ni muhusika muhimu ...
ya sake buga wa ƙungiyarsa ta asali saboda dangantakarsa da ƙungiyar. (Guardian). Newcastle United na zawarcin ɗanwasan Bournemouth ɗanasalin Netherlands Justin Kuivert, 25 ko da yunƙurinta ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results