Mohammed Iqbal Dar, aliyebuni jina la Tanzania, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80 jijini Birmingham, Uingereza, ambako aliishi tangu mwaka 1965. Dar amefariki baada ya kuugua kwa takriban ...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura, akiongea wakati wa kufunga mafunzo ya uongozi mdogo wa jeshi hilo katika ngazi ya Sajini na Koplo wilayani Hai mkoani kilimnjaro. Moshi. Mkuu ...
In the ‘80s, this was the original idea for the famous Nike slogan before it got workshopped into the more succinct motto of “just do it”. Not a lot of people know that. JAMES WEIR RECAPS ...
Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa masikitiko makubwa na kulaani vikali matukio ya utekaji wa wananchi wawili katika mikoa ya Dar es Salaam na Kigoma, matukio yanayotia shaka huku Jeshi la Polisi ...
Takriban watu 46 wamepoteza maisha baada ya ndege ya jeshi la Sudan kuanguaka katika eneo la makaazi nje kidogo ya mji wa Khartoum. Wizara ya afya Sudan imesema watoto ni miongoni mwa ...
Birth-related mortality is a major contributor to the burden of deaths worldwide, especially in low-income countries. The Safer Births Bundle of Care program is a combination of interventions ...
Dar es Salaam. Benki kuu ya Tanzania (BoT) imesema haijawahi kufanya mazungumzo wala kutoa leseni ya kuruhusu kampuni ya Leo Beneath London (LBL) kufanya shughuli zake nchini kama taarifa za ...
Kundi hilo la madaktari wanaotoa misaada ya matibabu, linalojulikana pia kama MSF, limesema mapigano kati ya jeshi la Sudan na kikosi cha wanamgambo wa RSF yameongezeka ndani ya kambi hiyo ilioko ...
DIRA ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ni kuhakikisha inatengeneza mifumo ya kuvutia zaidi ya wanasoka wa kike milioni moja kucheza katika ligi za ngazi mbalimbali hapa nchini. Ni lengo ...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuanzia Februari 18 hadi 22,2025 limewakamata watuhumiwa 26 kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya upatu mtandaoni bila kuwa na kibali ...
Baada ya kumuua kiongozi wake katika shambulio la ndege isio na rubani katikati ya wiki, jeshi la Kongo limeshambulia tena kundi la kujilinda la Twirwaneho huko Kivu Kusini siku ya Ijumaa ...
February 26th Slime Ya HB, also known as National Backdoor Day, refers to memes and jokes in which TikTokers joke about getting backstabbed or "slimed" by their friends or "homeboys" on February 26th, ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results