Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2030, hawakufurahia ...
Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2030, hawakufurahia ...
SHEFFIELD FC ya England inatambuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kama klabu kongwe kuliko zote duniani ambayo ...
Philip Mpango, Rais Samia alimshukuru kwa kazi kubwa aliyofanya ya kumsaidia ... Aliwataja marais wastaafu (Jakaya Kikwete, Amani Abeid Karume na Dk. Ali Mohamed Shein) wamemsaidia kwenye mkutano huo ...
Nchi ya DRC inawakilishwa kwenye kikao hicho na Waziri wake Mkuu Judith Suminwa. Katika mkutano huo, Rais wa Tanzania amewataka wenzake wa nchi za SADC na EAC kutafuta suluhu la utovu wa usalama ...
TIMU za soka za Wanawake, Yanga Princess na Simba Queens, leo zitashuka kwenye viwanja tofauti Dar es Salaam, kusaka pointi ...
Donald Trump leo Jumatatu anaapishwa kuwa rais wa 47 wa Marekani. Trump anatarajiwa kutia saini idadi kubwa itakayoweka rekodi ya amri za rais punde baada ya kula kiapo cha kutumikia muhula wake ...
Bersatu has announced the appointment of five new members to its supreme council. “YB president (Muhyiddin Yassin) has appointed five members to the supreme council, as well as state leadership ...
Donald Trump leo Jumatatu anaapishwa kuwa rais wa 47 wa Marekani. Akiwa na umri wa miaka 78 na miezi 7, Trump ni rais mteule mwenye umri mkubwa zaidi katika historia ya Marekani. Hafla ya uapisho ...
Chama tawala nchini Tanzania, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepitisha azimio la kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae ...
Wamarekani Waarabu na Waislamu walishangazwa kusikia mawazo ya Rais Trump mapema katika kipindi chake cha urais, ambayo yalijumuisha uhamisho wa Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza huku Marekani ...
Chama tawala nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM), Januari 19, 2025 kimepitisha azimio la kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results