Uzinduzi huo unafuatia kukamilika kwa nchakato wa mapitio ya sera hiyo iliyozinduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2014.
Maadhimisho hayo yamekwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo wa kidijitali wa anuani za makazi (NaPa) jijini Dodoma.