Sherehe ya kuapishwa kwa gavana mpya wa kijeshi wa mkoa wa Kivu Kaskazini, Meja Jenerali Evariste Kakule Somo, ilifanyika zaidi ya kilomita 250 kutoka mji wa Goma, katika ua wa ukumbi wa ...
Amekariri kwamba Uingereza itashauriana na serikali mpya ya Trump ili kuipa fursa ya "kuzingatia mpango huo kwa ukamilifu". Pia amebainisha azimio la London la kupata hakikisho la ulinzi thabiti ...
(ESPN) Newcastle United wanaegemea kujenga uwanja mpya karibu na St James' Park. (Telegraph - Subscription required) United wanataka kukataa ofa ya mkopo ya Benfica kwa ajili ya mlinzi wa Uholanzi ...
Hata hivyo, wataalamu wa utafiti huu mpya walishuku kuwa masuala haya ya vinasaba yalisababishwa na kutotumia vinasaba vya asili - ambapo kwa kawaida lazima zirithiwe kutoka kwa mzazi wa kiume na ...
NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amekaribisha kuundwa kwa serikali mpya nchini Lebanon na kuthibitisha kujitolea kwa jumuiya ya kimataifa katika kuhakikisha uadilifu wa ...
BAADA ya kupata pointi nne katika michezo miwili akiwa na TMA FC ya jijini Arusha, kocha wa kikosi hicho, Mohamed Ismail 'Laizer', amesema maendeleo hadi sasa sio mabaya kwake, licha ya kukiri ana ...
SPIKA wa Bunge, Dk.Tulia Ackson, ameridhishwa na majibu ya kitaalamu wa Wizara ya Afya, baada ya Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, kuelezwa kuhusu matumizi ya teknolojia ya CRISPR-Cas9 katika ...
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana, amewataka maofisa elimu na watendaji wa sekta hiyo kuhakikisha wanaendana na mabadiliko ya utekelezaji wa mtaala mpya wa masomo ulioanza kutumika ...
UNAIKUMBUKA ile bato ya viungo Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam na mwenzake Stephanie Aziz KI wa Yanga, basi msimu huu wamekuja kivingine na mdogo mdogo wanaanza kukiwasha tena wakikimbizana kwa ...
Licha ya mapokezi chanya ya wadau wa demokrasia kuhusu vuguvugu la mabadiliko lililotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa upande mwingine wameonyesha wasiwasi wa... Mamlaka ya ...
Dodoma. Serikali imesema imeanza maandalizi ya wataalamu na teknolojia mpya ya matibabu ya ugonjwa wa selimundu kwa kutumia teknolojia ya CRISPR Cas 9 (Gene Editing). Hayo yamesemwa leo Alhamisi ...
MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa kushirikiana na wananchi ambayo itaondoa adha ya wananchi hao kutembea umbali ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results