Familia ya kijana Elvis Pemba ambaye kifo chake kina utata, imedai kuna ofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe amehusika ...
Familia ya kijana Elvis Pemba ambaye kifo chake kina utata, imedai kuna ofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe amehusika ...
Akizungumza mjini Bunda, Januari 30, 2024, Wasira alihoji iwapo Katiba mpya ndiyo suluhisho la changamoto zinazowakabili Watanzania. "Wanalilia Katiba Mpya lakini hawafikirii wananchi. Watanzania ...
VIJANA wanne kutoka Kanda ya Ziwa, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ...
Tarehe 24 January 2025 Rais Tshisekedi alikatiza ziara yake mjini Davos baada ya mapigano makali kuzuka nchini mwake, katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo ...
Hii leo huko Beni mji ulioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumefanyika hafla ya kumsimika Gavana mpya wa kijeshi wa jimbo hilo kufuatia wa awali kuuawa wakati wa mapigano hivi ...
Ripoti zinaonyesha kuwa M23 imeendelea kusonga kusini kuelekea Bukavu, imeeleza Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (OHCHR) kupitia taarifa iliyotolewa leo Januari 31 mjini ...
Hakujawa na uthibitisho kutoka kwa jeshi la Kongo au serikali mjini Kinshasa kwamba mji huo mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini umekamatwa na waasi. Muungano wa waasi unaoongozwa na kundi la M23 lenye ...
Freeman Mbowe, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi cha miongo miwili, kupitia mtandao wake wa X zamani ukiitwa Twitter amempongeza mrithi wake na mkamu wake wa zamani Tundu Lissu ...
DAR ES SALAAM; SIMBA wameanza kutamba bwana! Leo walijana pale Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke, Dar es Salaam kufuatilia kwenye televisheni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kati ya timu hiyo na CS ...
Hakuna tarehe iliyotangazwa ya mkutano mpya wa mawaziri wa mambo ya nje mjini Luanda, Angola, chini ya mwamvuli wa Rais Lourenco. Kwa wakati huu, makubaliano ya amani yanasalia katika hatua ya rasimu.
Shirika la Hali ya Hewa Duniani, WMO, lilitangaza hayo jana Jumatatu mjini Geneva. Kwa mujibu wa wataalamu wa Umoja wa Mataifa ni kwamba mwaka huu ulizidi ule kwa nyuzijoto 0.3. Katibu Mkuu wa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results