Sam Nujoma. “Mpigania uhuru, Mwana-Pan-Africanist, na rafiki wa dhati wa Tanzania ambako aliwahi kuishi wakati wa harakati za uhuru wa Namibia. Rais wa Namibia, Dk. Nangolo Mbumba, amesema nchi hiyo ...
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema limewapoteza askari wake wawili na wengine wanne kujeruhiwa, kufuatia mashambulizi ya mfululizo katika maeneo ya Sake na Goma, yaliyofanywa na ...