Nchini Tanzania mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard Gauge - unaendelea. Reli hiyo itakayoanzia bandari ya Dar es Salaam hadi mji mkuu wa Dodoma na baadaye hadi nchi za jirani za ...
MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, ameitaka serikali kutoa ufafanuzi kuhusu ucheleweshaji wa utekelezaji wa mradi ...
MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, bungeni jijini Dodoma, TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, Rais Samia Suluhu Hassan.
Maelezo ya video, Ujenzi wa reli ya kisasa Kenya watishia wanyamapori Nairobi 20 Julai 2018 Ujenzi wa njia ya kwanza ya reli ya mwendo kasi nchini Kenya, zitakuwa ni habari nzuri. Lakini sehemu ya ...
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Serikali ya Tanzania imejizatiti kuboresha na kuimarisha sekta ...
Tayari Kampuni ya China ya CREGC&CREDC imepewa jukumu la kuanza ujenzi wa reli hiyo, kazi itakayoanza wiki mbili baadaye kuanzia sasa.
Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 5 kuboresha miundombinu na kununua vifaa tiba vya kisasa katika Hospitali ya Taifa ...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema mpango wa kukagua magari kwa macho sasa basi, badala yake magari yote ...
Kundi la wapiganaji wa M23 limeapa kuendelea na mapigano yao nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo+++Serikali za Tanzania na Burundi zimesaini makubaliano ya ujenzi wa reli ya kisasa yenye urefu ...