HIVI karibuni katika tuzo za Grammy 2025, miongoni mwa wageni walihudhuria na kuangaziwa sana na vyombo vya habari ni pamoja ...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokewa na wakazi wa Dodoma baada ya kutunukiwa tuzo ya Gates Goalkeeper huku akisema tuzo hiyo ni ya wahudumu wa sekta ya afya na Watanzania wote.
Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi ...
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Lady Jaydee, 45, mwaka huu unaadhimisha miaka 25 tangu ametoka kimuziki na sasa anaheshimika na wengi kama msanii aliyeweza kuwa katika kilele cha mafanikio ya kazi ...
Maji katika maeneo ya ardhi oevu, huweza kuwa ya chumvi, maji baridi au mchanganyiko wa maji baridi na chumvi. Lakini umuhimu wake ni upi?
Dar es Salaam. Tanzania has announced a $13 billion funding requirement to implement key energy reforms aimed at boosting electricity supply, promoting clean cooking solutions, and expanding access to ...
Karibu wanawake 200 waliuawa nchini Kenya mwaka jana, katika matukio ya ukatili wa kijinsia. Idadi hii ambayo ni karibu mara mbili ya ile ya mwaka uliopita imetolewa na makundi yanayofuatilia ...
Kichwa kinauma kila unapojaribu kujadili suala la wachezaji watatu wa Singida Black Stars kupewa uraia wa Tanzania kwa sababu ya kucheza soka nchini. Hawa sio watalii waliofika uwanja wa ndege wa ...
The World Bank has cancelled a $150 million project to boost tourism to Tanzania’s Ruaha National Park, following allegations of human rights abuses by park authorities. Under the Tanzanian ...
Freeman Mbowe, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi cha miongo miwili, kupitia mtandao wake wa X zamani ukiitwa Twitter amempongeza mrithi wake na mkamu wake wa zamani Tundu Lissu ...
This virus has recently resurfaced in Tanzania, infecting nine people and claiming the lives of eight. World Health Organization (WHO) chief Tedros Adhanom Ghebreyesus has expressed concern over the ...
The president of Tanzania has confirmed a case of the Marburg virus in the country. Marburg belongs to the same family of illnesses as Ebola and can cause death in up to 88% of cases. President ...