Askari Metals has pumped up its gold resource by 28pc to 82,700 ounces grading 1.2g/t at its Burracoppin project in the WA Wheatbelt, winning over market punters who pushed up the price earlier today ...
Vyanzo hivyo vinaripoti kwamba muda mfupi kabla ya kuwasili kwa waasi hao katikamji wa Bukavu, askari wa jeshi la Kongo walikuwa tayari wameondoa ngome zao. Hofu na kutokuwa na uhakika ulitanda ...
"Siku ya Ijumaa jioni, msafara wa UNIFIL uliokuwa ukisafirisha askari wa kulinda amani kwenye uwanja wa ndege wa Beirut ulishambuliwa vikali, na gari likachomwa moto. "Naibu Kamanda wa Kikosi cha ...
Jumapili usiku, walinda amani wa Umoja wa Mataifa walianza kuwasajili askari waliojisalimisha viungani mwa mji wa Goma. Msemaji wa serikali ya Kongo Patrick Muyaya ametoa wito wa ulinzi wa raia ...
De Perre amesema MONUSCO imepokea idadi kubwa ya watu wanaotafuta hifadhi, wakiwemo maafisa na wapiganaji au askari waliosalimisha silaha zao. Kuna uhaba mkubwa wa maji, chakula na vifaa vya matibabu.
With the gold price appearing to ramp higher every day, Askari has timed the release of its upgraded resource perfectly as intense demand builds for mineable gold assets in WA.
Polisi nchini Kenya wamewatia mbaroni watu wanne wakiwamo raia wawili wa kigeni, wakiwatuhumu kutoa shahada za uzamili (master’s degree) na Shahada ya Uzamivu (PhD) ya heshima wakiwa hotelini... Licha ...
Dar es Salaam. Mamia ya wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni za siri Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Kuuawa kwa wanajeshi hao katika ...
"Walikuajiri kwa mshahara wa $8,000 kwa mwezi, unakula vizuri," Ngoma alifoka, akionesha tofauti kati ya malipo hayo na malipo ya askari wa jeshi la Congo. "Tunapigania maisha yetu ya baadaye.
Aliegesha gari nje ya gereza hilo akaelekea kwenye lango la kuingilia gerezani. Askari wa magereza waliokuwa kwenye lango hilo walikuwa wakimtambua wakampisha apite. “Karibu afande.” Askari mmoja ...
Taarifa iliyotolewa Jumapili na ofisi ya mwendesha mashtaka wa kijeshi inasema kuwa askari hao wanakabiliwa na mashitaka ya vurugu dhidi ya raia, ikiwa ni pamoja na mauaji, uporaji, na ubakaji.
This growing demand reflects both the high quality of the product on offer and the strong trust that clients place in Dar wa Emaar. “Tala al Khuzam” project is distinctive in its unique location at ...