Kwa muda mrefu Kisiwa cha Pemba kimekuwa ngome ya upinzani, tangu uchaguzi wa kwanza baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1995, kisiwa hicho kilikuwa ngome ya Chama cha Wananchi (CUF).
Pemba ina mikoa miwili. Mmoja Kusini Pemba, mwingine Kaskazini Pemba. Kusini ndiyo mjini, makao makuu ya Kisiwa cha Pemba.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results