WATU 345 kati ya 62,257 waliojitokeza kupima afya zao kwa hiari katika mikesha ya Mwenge wa Uhuru kwenye halmashauri ...
MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ni muhimu Watanzania walinde amani kumuenzi Baba wa Taifa, Julius Nyerere. Dk Mpango ...
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi wa Polisi (SACP), Benjamani Kuzaga, amesema ulinzi umeimarishwa kuelekea ...
Mchezaji namba moja duniani, Tadej Pogačar, ameonyesha umahiri wa hali ya juu jana jumapili baada ya kushinda ubingwa wa dunia wa mbio za barabara kwa mara ya pili. Nyota huyo kutoka Slovenia Tadej ...
Baada ya miezi kadhaa ya maandalizi ya mashindano ya ubingwa wa Dunia, kwa mujibu wa meya wa Kigali, Samuel Dusengiyumva, jiji liko tayari kuandaa shindano hilo: "Kwa ujumla, barabara zetu ziko katika ...
Mwanariadha wa Tanzania, Alphonce Simbu ametafakari ushindi wake mzuri katika mbio za marathon kwa wanaume kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2025 yanayoendelea sasa jijini Tokyo nchini Japani.
Lissu asema kesi yake inapaswa kusikilizwa hadharani, lakini maafisa wa polisi wamekuwa wakiwazuia wanachama wake kuingia mahakamani. Na Asha Juma Raia wa Malawi wanasubiri kujua rais wao ajaye ni ...
Mkenya Faith Kipyegon ameshinda taji lake la nne la dunia la mbio za mita 1500 leo Jumanne, Septemba 16 mjini Tokyo, na kumaliza kwa saa 3:52:15, na hivyo kuimarisha ubabe wake katika umbali wa kati.
The Detroit Lions kept most of their roster from 2024 intact heading into the 2025 season. However, one of the players who is not back for this season is edge-rusher Za'Darius Smith. Smith was added ...
The Eagles are adding to the pass rush one game into the season. Philadelphia is signing veteran edge Za'Darius Smith to a one-year deal, NFL Network Insiders Ian Rapoport and Tom Pelissero reported ...
GEITA; MBIO za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025 zimeingia rasmi mkoani Geita zikikitokea mkoani Mwanza Septemba 01, 2025, na ukiwa mkoani Geita Mwenge huo utakimbizwa kwenye wilaya tano za mkoa huo hadi ...
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa, Ismail Ussi akizungumza wakati wa mbio za mwenge katika halmashauri ya wilaya ya Tarime vijijini. Picha na Beldina Nyakeke Tarime. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ...