Maelezo ya picha, Dodoma ulitangazwa kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973. 30 Septemba 2016 Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amehamia rasmi mji wa Dodoma ...
Je unafahamu kuwa nchini Tanzania kuna mji mkongwe ambao usafiri wake mkuu ni baiskeli? Kwa muda wa miongo mitano sasa, wakazi wake wameendelea kutegemea zaidi usafiri huo ambao unatambua ...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere. BUNGE limeazimia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa kina katika miradi yote yenye changamoto ...
Mkutano wa pamoja wa EAC-SADC kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umefayika siku ya Jumamosi Februari 8 katika ...
Umbali kutoka Bukavu mpaka Goma, kwa barabara ni kilometa 193.9. Ni miji mwili, mmoja upo ncha ya Kusini ya Ziwa Kivu na ...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameagiza mamlaka zinazohusika na kutoa vibali vya ujenzi ikiwemo mipango miji, kutokutoa ...
Waasi wa kundi la M23 wameingia kwenye kitovu cha mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, masaa kadhaa baada ya kutangaza kutwaa udhibiti wa mji ...
Wanajeshi wawili wa Tanzania wameuawa katika mapigano katika siku 10 zilizopita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya ...
NCHINI Congo DRC ni vilio, watu duniani wakiangalia runinga machozi yanawatoka wakisikitika ni miaka mingi zaidi ya 20 nchi ...
MOROGORO ni miongoni mwa miji michache nchini yenye umaarufu kutokana na mchango wake kwenye harakati za ukombozi ...
Hali ya wasiwasi inaongezeka katika mji wa Bukavu uliopo jimbo ... Katika ujumbe aliotuma kwa wanajeshi wa FARDC kwenye uwanja wa vita, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Kitaifa Guy Kabombo ...