Kulingana na hati ya kiapo, Nyakahemba anaeleza kuwa mwaka 2007 aliajiriwa kama muuguzi daraja la pili na wakati anaajiriwa, alitakiwa kuwa na elimu ya darasa la saba, pamoja na sifa zingine, ...
RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya dunia ya kusoma Quran Tukufu, yatakayofanyika ...
Jumatano ya Februari 12 mwaka huu, Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo ilitoa mchoro rasmi wa uwanja wa michezo ...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere. BUNGE limeazimia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa kina katika miradi yote yenye changamoto ...
MOROGORO ni miongoni mwa miji michache nchini yenye umaarufu kutokana na mchango wake kwenye harakati za ukombozi ...
Ushindi huu unaifanya Tanzania kuthibitisha uwepo wa wataalamu wake wenye sifa za kushika nafasi za uongozi wa kimataifa. Ni ...
Rais wa kwanza wa Namibia huru, Sam Nujoma, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika mji mkuu wa Windhoek, kiongozi ...
Mkutano wa pamoja wa EAC-SADC kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umefayika siku ya Jumamosi Februari 8 katika ...
Rais wa DRC Felix Tshisekedi akiwa jijini Kinshasa anahudhuria kwa njia ya video kikao kinachowaleta pamoja wakuu wa nchi za ...
Mawaziri hao wamekutana leo mjini Dar Es Salaam, Tanzania katika kikao kinachotangulia mkutano wa marais wa jumuiya hizo ...
CHAMA cha Wamiliki wa Malori Wadogo na Wakati Tanzania (TAMSTOA), wameiomba Serikali kushughulikia changamoto zinazowakabili ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results