31.01.2025 31 Januari 2025 Wenyeji wa pwani ya Afrika Mashariki hufurahia kitinda mlo hiki hasa majira ya jioni, kinaandaliwa kwa namna tofauti lakini walaji wanasema wanavutiwa zaidi na ile ...
na DAWASA katika Wilaya ya Bagamoyo. Amesema kuwa lengo la Rais Samia Suluhu Hassan, ni kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama karibu na makazi yao, jambo ambalo Mkoa wa Pwani linaendelea ...
Bagamoyo. Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma ya kusambaza video za utupu maarufu ‘connection’ zinazodaiwa kuwa za wanafunzi wa Shule ya Sekondari Baobab. Hayo yamesemwa ...
Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe Ester Mahawe ukiwa tiyari kwenye eneo la makaburi kwa ajili ya maziko nyumbani kwake eneo la ngaramtoni ya chini jijini Arusha, picha na Bertha ...
SINGIDA: MKUU wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Suleiman Mwenda na Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dk Fatma Mganga wamefanya ziara kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi wa shule za msingi na sekondari.
Chibulunje. Mhandisi Chibulunje alisema katika tafiti ya pili iliyofanyika mwaka 2020 hali ya upatikanaji wa umeme vijijini ilikuwa ni asilimia 69.6. Akizungumzia namna ambavyo zoezi hilo linafanyika ...
For 12 years, the family of retired postmistress Una Crown have searched for answers. Found lying face-down in the hallway of her bungalow on 13 January 2013, the 86-year-old widow had been ...
Makala ya habari rafiki imewashirikisha wasikilizaji kutoka kila kona ambapo wasikilizaji wametoa maoni yao kuhusu namna ambavyo wataalamu wa afya kutoka nchi za jumuia ya Afrika Mashariki ...
Nyanja kadhaa zimefunguliwa katika mkoa wa Kivu Kaskazini, na ktatiza usitishaji mapigano uliojadiliwa wakati wa kiangazi cha 2024 na wakati majadiliano kati ya Kinshasa na Kigali hayajaanzishwa tena.
Dkt. Biteko amesema hayo Januari 15, 2025 mara baada ya kukagua maandalizi ya Mkutano huo katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam akiwa ameambatana na ...
Ili kutathimini maendeleo ya mradi, UNICEF imetembelea moja ya maeneo ambako mradi huo unatekelezwa; Chunya moja ya wilaya 7 za mkoa wa Mbeya kusinimagharibi mwa Tanzania. Mradi wa GoTHOMIS ambao ni ...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO, limeripoti uwezekano wa kuweko kwa mlipuko wa homa ya Marburg wilayani Biharamulo na Muleba, mkoani Kagera nchini Tanzania baada ya watu 9 kuugua ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results