Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala kuu ya Dodoma imeamuru kuitwa kortini wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars ...
Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala kuu ya Dodoma imeamuru kuitwa kortini wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars ...
Kesi hiyo imepangwa kutajwa tena Machi 11, 2025 kuangalia kama Serikali imewasilisha majibu na pia kama wachezaji hao ambao ...
Kiongozi wa kanisa katoliki Papa Francis amelaani, siku ya Jumanne, Februari 11, kufukuzwa kwa wingi kwa wahamiaji, hatua iliyochukuliwa na Rais wa Marekani Donald Trump. Katika barua iliyotumwa ...
Kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka akihoji wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Star (SBS), ...
Huku Utawalwa wa Trump ukiimarisha juhudi za kuwagundua na kuwatimua wahamiaji haramu, jamii ya Waafrika nchini Marekani ina ...
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mpango wake wa kutoza ushuru wa forodha kwa Canada na Mexico kwa mwezi mmoja, baada ...
AZAM FC have expressed their satisfaction with the recent Premier League break, citing it as a valuable opportunity for squad assessment and tactical refinement ahead of a hectic February schedule ...
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema haki ya kuomba hifadhi ni lazima iheshimiwe. Ameyasema hayo bungeni wakati wabunge ...
Wabunge wa Ujerumani wanakabiliwa na kibarua kigumu cha kupiga kura kwa mara nyingine Ijumaa, kuhusu hoja ya hivi karibuni iliyopitishwa na bunge inayotaka sheria kali zaidi ya uhamiaji.
Muungano mkubwa zaidi wa vyama vya upinzani nchini Ujerumani umewasilisha bungeni hoja ya kubana zaidi sheria za uhamiaji ukisaidiwa na chama kinachochukuliwa kuwa cha mrengo wa mbali kulia.
UJERUMANI : KANSELA wa Ujerumani, Olaf Scholz, amesema kuwa haki ya kuomba hifadhi ni jambo la lazima na linapaswa kuheshimiwa.