Maelezo ya sauti, Kifo cha Rais Magufuli: Wasanii wa muziki Tanzania wamlilia Magufuli 19 Machi 2021 Baadhi ya Wasanii wa muziki nchini Tanzania wamekuwa wakielezea hisia zao za huzuni kuhusu kifo ...
Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa ...
SINA lengo la kumshushia mtu heshima; ukweli mchungu ni lazima usemwe. Wasanii wa hip hop wa Tanzania ni vichwa kuliko ...
Maelezo ya video, Nyashinski: Ningependa kufanya kazi na wasanii wa Tanzania 4 Mei 2018 Mwanamuziki maarufu kutoka Kenya Nyashinski ameeleza nia yake kubwa ya kufanya kazi na wasanii wa kanda ya ...
Wasanii wa Muziki wa kizazi kipya wanaochipukia nchini Tanzania walalama kutakwa Kimapenzi wa Watayarishaji wa Muziki, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akiwa na Zainisha ...
Basata liliwataka wasanii kuacha kutunga nyimbo zinazochochea matumizi ya dawa za kulevya na badala yake ziwe na ujumbe unaopambana na dawa hizo.
Mtumishi wa Mungu ndg Alex Msama Amewaonya waimbaji wote wa nyimbo za injili Ambao wamekuwa wakishiriki kwenye majukwaa na ...
Leo Februari 14,2025, ikiwa ni siku rasmi ya kufunguliwa kwa Tamasha la muzuki la Sauti za Busara 2025, Ngome Kongwe, Stone ...
Lamar ni jina la mtayarishaji muziki Bongo alianza kazi hiyo akiwa kijana mdogo sana na kulishika game kipindi hicho kwa ...
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo ...
Dk. Mapana alitoa wito huo, Februari 7, 2025, jijini Dar es Salaam, wakati akizindua Kamati Kuu ya Uendeshaji wa Tuzo za Muziki wa Injili Tanzania (Tanzania Gospel Music Awards – TMGA), akibainisha ...